Thursday, November 16, 2006 15:47
kwa kiingereza    
Miamba ya mawe kando kando ya ziwa Victoria

 

Juasun.net ni Kampuni itoayo huduma ya mtandao wa mawasiliano ambayo kwa sasa inahudumia maeneo ya vijijini nchini Tanzania. Tunatoa huduma ya aina zote za mawasiliano ya mtandao kwa kupitia njia ya simu na pia kwa njia ya mawimbi kwa wanachama wetu kwa gharama nafuu.

Juasun.net imesajiliwa na kupata leseni chini ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

MALENGO
Lengo la Juasun.net ni kusaidia katika kuendeleza teknolojia ya mawasiliano na kusambaza habari vijijini nchini Tanzania, kwa kiwango cha ubora wa juu pamoja na kuwaelimisha vijana Waafrika waishio vijijini kuhusu teknolojia hii ya Mawasiliano ya Mtandao.

MAHALI TULIPO
Makao Makuu ya Juasun.net yako Musoma, Mara, moja ya mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania inayopakana na Ziwa Nyanza (Victoria) na Mbuga za Serengeti.

 

HABARI

Kichwa cha habari 00/00/000
Habari motomoto kuhusu matukio yanayoendelea Juasun
>> zaidi...

Kichwa cha habari 00/00/000
Habari motomoto kuhusu matukio yanayoendelea Juasun
>> zaidi...

Tuma maoni
Faharasa
Copyright © 2006 Juasun.net. All rights reserved.